15 Na Hezekia akaanza kusali+ mbele za Yehova na kusema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli,+ unayeketi juu ya makerubi,+ wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme+ zote za dunia.+ Wewe mwenyewe umezifanya mbingu+ na dunia.+
14 Tena akatengeneza pazia+ la uzi wa bluu+ na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na uzi mwekundu na kitambaa laini, na kulipamba kwa makerubi juu yake.+