1 Wafalme 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na mbao za mierezi ndani ya nyumba zilikuwa na mapambo ya michongo yenye umbo la kibuyu+ na shada za maua.+ Yote ilikuwa ya mierezi; halikuonekana jiwe lolote. 1 Wafalme 6:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Naye akachonga makerubi na maumbo ya mitende na michoro ya maua, na kufunika dhahabu iliyonyooshwa juu ya mifano hiyo.+
18 Na mbao za mierezi ndani ya nyumba zilikuwa na mapambo ya michongo yenye umbo la kibuyu+ na shada za maua.+ Yote ilikuwa ya mierezi; halikuonekana jiwe lolote.
35 Naye akachonga makerubi na maumbo ya mitende na michoro ya maua, na kufunika dhahabu iliyonyooshwa juu ya mifano hiyo.+