Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Vikombe vitatu vyenye umbo la maua ya mlozi vitakuwa kwenye kila moja la matawi yaliyoko upande mmoja, vifundo na maua vikifuatana, na vikombe vitatu vyenye umbo la maua ya mlozi kwenye kila moja la matawi yaliyoko upande ule mwingine, vifundo na maua vikifuatana.+ Hivyo ndivyo ilivyo kwa matawi sita yanayotoka katika kile kinara cha taa.

  • 1 Wafalme 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na unene wake ulikuwa upana wa kiganja kimoja;+ na ukingo wake ulikuwa kama muundo wa ukingo wa kikombe, ua la yungiyungi.+ Ingeweza kuchukua+ vipimo elfu mbili vya bathi.+

  • 1 Wafalme 7:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 na vinara vya taa,+ vitano upande wa kuume na vitano upande wa kushoto mbele ya kile chumba cha ndani kabisa, vya dhahabu safi,+ na maua+ na taa+ na mikasi ya tambi,+ vyote hivyo vya dhahabu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki