25 Naye akawa akiyaondoa magurudumu kutoka kwenye magari yao hivi kwamba wakawa wakiyaendesha kwa shida;+ nao Wamisri wakaanza kusema: “Na tukimbie tusikaribie Israeli hata kidogo, kwa sababu hakika Yehova anawapigania dhidi ya Wamisri.”+
28 kwa sababu mishale yao imenolewa na pinde zao zote zimepindwa.+ Kwato za farasi wao zitahesabiwa kuwa jiwe,+ na magurudumu yao kama upepo wa dhoruba.+
27 Kwa maana bizari nyeusi haisagwi kwa kifaa cha kupuria;+ wala gurudumu la gari la kukokotwa halizungushwi juu ya bizari. Kwa maana kwa kawaida bizari nyeusi hupigwa kwa fimbo,+ na bizari kwa fimbo ya mkono.