16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+
15 wewe ambaye umemtimizia mtumishi wako Daudi baba yangu yale uliyomwahidi,+ hivi kwamba ukatoa hiyo ahadi kwa kinywa chako mwenyewe, na kwa mkono wako mwenyewe umetimiza kama ilivyo leo hii.+