Zaburi 141:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+ Danieli 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi sasa, Ee Mungu wetu, sikiliza sala ya mtumishi wako na maombi yake, ufanye uso wako uangaze+ juu ya patakatifu pako ambapo pamefanywa ukiwa,+ kwa ajili ya Yehova. Luka 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo akaendelea kuwaambia mfano juu ya uhitaji wao wa kusali sikuzote bila kukata tamaa,+
2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+
17 Basi sasa, Ee Mungu wetu, sikiliza sala ya mtumishi wako na maombi yake, ufanye uso wako uangaze+ juu ya patakatifu pako ambapo pamefanywa ukiwa,+ kwa ajili ya Yehova.