28 Yote hayo ndiyo makabila kumi na mawili ya Israeli, na hayo ndiyo maneno ambayo baba yao aliwaambia alipokuwa akiwabariki. Alimbariki kila mmoja kupatana na baraka yake.+
4 Basi Musa akaandika maneno yote ya Yehova.+ Kisha akaamka asubuhi na mapema na kujenga kwenye sehemu ya chini ya huo mlima madhabahu na nguzo kumi na mbili zinazolingana na yale makabila kumi na mawili ya Israeli.+