Mwanzo 19:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Baada ya muda yule mzaliwa wa kwanza akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu.+ Yeye ndiye baba ya Moabu, mpaka leo hii.+ Hesabu 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitamwona,+ bali si sasa;Nitamtazama, bali si karibu.Nyota+ itatokea katika Yakobo,Na fimbo ya enzi itainuka katika Israeli.+Naye atavunja vipaji vya kichwa cha Moabu+Na fuvu la kichwa cha wana wote wa fujo ya vita. Zaburi 60:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Moabu ni chungu changu cha kuoshea.+Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+Nitapiga kelele za ushindi juu ya Ufilisti.”+
37 Baada ya muda yule mzaliwa wa kwanza akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu.+ Yeye ndiye baba ya Moabu, mpaka leo hii.+
17 Nitamwona,+ bali si sasa;Nitamtazama, bali si karibu.Nyota+ itatokea katika Yakobo,Na fimbo ya enzi itainuka katika Israeli.+Naye atavunja vipaji vya kichwa cha Moabu+Na fuvu la kichwa cha wana wote wa fujo ya vita.
8 Moabu ni chungu changu cha kuoshea.+Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+Nitapiga kelele za ushindi juu ya Ufilisti.”+