Mwanzo 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Abramu akasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, utanipa nini, kwa sababu mimi naenda zangu bila mtoto na yule atakayeirithi nyumba yangu ni Eliezeri,+ mtu wa Damasko?” Mwanzo 30:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Raheli alipoona kwamba alikuwa hajamzalia Yakobo mwana yeyote, Raheli akamwonea wivu dada yake naye akaanza kumwambia Yakobo:+ “Nipe watoto, kama sivyo nitakufa mimi.”+
2 Ndipo Abramu akasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, utanipa nini, kwa sababu mimi naenda zangu bila mtoto na yule atakayeirithi nyumba yangu ni Eliezeri,+ mtu wa Damasko?”
30 Raheli alipoona kwamba alikuwa hajamzalia Yakobo mwana yeyote, Raheli akamwonea wivu dada yake naye akaanza kumwambia Yakobo:+ “Nipe watoto, kama sivyo nitakufa mimi.”+