10 “Na katika siku ya kushangilia+ kwenu na katika majira yenu ya sherehe+ na mwanzoni mwa miezi yenu,+ mtapiga tarumbeta juu ya matoleo yenu ya kuteketezwa+ na dhabihu zenu za ushirika;+ nazo zitakuwa ukumbusho kwa ajili yenu mbele za Yehova Mungu wenu. Mimi ni Yehova Mungu wenu.”+
11 “‘Na mwanzoni mwa miezi yenu mtamtolea Yehova toleo la kuteketezwa la ng’ombe-dume wawili wachanga na kondoo-dume mmoja, wana-kondoo dume saba ambao hawana kasoro kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja,+