Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na katika siku ya kushangilia+ kwenu na katika majira yenu ya sherehe+ na mwanzoni mwa miezi yenu,+ mtapiga tarumbeta juu ya matoleo yenu ya kuteketezwa+ na dhabihu zenu za ushirika;+ nazo zitakuwa ukumbusho kwa ajili yenu mbele za Yehova Mungu wenu. Mimi ni Yehova Mungu wenu.”+

  • Hesabu 28:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Na mwanzoni mwa miezi yenu mtamtolea Yehova toleo la kuteketezwa la ng’ombe-dume wawili wachanga na kondoo-dume mmoja, wana-kondoo dume saba ambao hawana kasoro kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja,+

  • Ezekieli 46:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao watu wa nchi watainama kwenye kizingiti cha lango hilo katika siku za sabato na katika miezi mipya, mbele za Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki