Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na katika siku ya kushangilia+ kwenu na katika majira yenu ya sherehe+ na mwanzoni mwa miezi yenu,+ mtapiga tarumbeta juu ya matoleo yenu ya kuteketezwa+ na dhabihu zenu za ushirika;+ nazo zitakuwa ukumbusho kwa ajili yenu mbele za Yehova Mungu wenu. Mimi ni Yehova Mungu wenu.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 na kwa ajili ya kila toleo la dhabihu za kuteketezwa kwa Yehova katika sabato,+ katika miezi mipya+ na katika majira ya sherehe,+ kufuatilia hesabu kulingana na kanuni zenye kuzihusu, daima mbele za Yehova.

  • 2 Mambo ya Nyakati 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 tazama, ninajenga+ nyumba kwa ajili ya jina+ la Yehova Mungu wangu, ili niitakase+ kwake, ili kufukiza mbele zake uvumba uliotiwa manukato,+ pamoja na mkate+ wa tabaka wa daima na matoleo ya kuteketezwa wakati wa asubuhi na jioni,+ wakati wa sabato+ na wakati wa miezi mipya+ na kwenye majira ya sherehe+ ya Yehova Mungu wetu. Hayo yatakuwa juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Nehemia 10:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 kwa ajili ya mkate wa tabaka+ na toleo la nafaka la daima+ na toleo la kuteketezwa la daima la sabato,+ miezi mipya,+ kwa ajili ya sherehe rasmi+ na kwa ajili ya vitu vitakatifu+ na kwa ajili ya matoleo ya dhambi+ ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli na kazi yote ya nyumba ya Mungu wetu.+

  • Wakolosai 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo mtu yeyote asiwahukumu+ ninyi katika kula na kunywa+ au kuhusu sherehe+ au kuhusu kushika mwezi mpya+ au sabato;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki