Mambo ya Walawi 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kilichobaki kutoka katika toleo hilo la nafaka ni cha Haruni na wanawe, kama kitu kitakatifu zaidi cha matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.+ Mambo ya Walawi 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Sasa ikiwa mtu atakula kitu kitakatifu bila kukusudia,+ basi ataongeza sehemu yake ya tano+ juu yake naye atampa kuhani hicho kitu kitakatifu.
10 Na kilichobaki kutoka katika toleo hilo la nafaka ni cha Haruni na wanawe, kama kitu kitakatifu zaidi cha matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.+
14 “‘Sasa ikiwa mtu atakula kitu kitakatifu bila kukusudia,+ basi ataongeza sehemu yake ya tano+ juu yake naye atampa kuhani hicho kitu kitakatifu.