9 “‘Hata hivyo, siku ya sabato+ kutakuwa wana-kondoo dume wawili ambao hawana kasoro wenye umri wa mwaka mmoja na vipimo viwili vya sehemu ya kumi ya unga laini ukiwa toleo la nafaka lililotiwa mafuta, pamoja na toleo lake la kinywaji,
11 Pia, kila kuhani husimama mahali pake+ siku baada ya siku+ ili kutoa utumishi wa watu wote na kutoa dhabihu zilezile mara nyingi, kwa kuwa hizo haziwezi kamwe kuondoa kabisa dhambi.+