29 Kumbukeni kwamba Yehova amewapa ninyi sabato.+ Ndiyo sababu anawapa siku ya sita mkate wa siku mbili. Endeleeni kukaa kila mmoja mahali pake.+ Mtu yeyote asitoke mahali pake siku ya saba.”
10 Lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye kazi yoyote, wewe wala mwana wako wala binti yako, mtumwa wako wala kijakazi wako wala mnyama wako wa kufugwa wala mgeni wako aliye ndani ya malango yako.+