Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 28:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Na mwanzoni mwa miezi yenu mtamtolea Yehova toleo la kuteketezwa la ng’ombe-dume wawili wachanga na kondoo-dume mmoja, wana-kondoo dume saba ambao hawana kasoro kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja,+

  • Hesabu 29:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 mbali na lile toleo la kuteketezwa+ la kila mwezi na toleo lake la nafaka+ na lile toleo la kuteketezwa la daima+ na toleo lake la nafaka,+ pamoja na matoleo yake ya kinywaji,+ kulingana na utaratibu wa kawaida kwa ajili yake, kuwa harufu ya kutuliza, toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 na kwa ajili ya kila toleo la dhabihu za kuteketezwa kwa Yehova katika sabato,+ katika miezi mipya+ na katika majira ya sherehe,+ kufuatilia hesabu kulingana na kanuni zenye kuzihusu, daima mbele za Yehova.

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 kama desturi ya kila siku+ ili kutoa matoleo kulingana na amri ya Musa kwa ajili ya sabato+ na kwa ajili ya miezi mipya+ na kwa ajili ya sherehe rasmi+ mara tatu kwa mwaka,+ kwenye sherehe ya keki zisizo na chachu+ na kwenye sherehe ya majuma+ na kwenye sherehe ya vibanda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki