Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 5:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 na, baada ya kuingia, akawaambia: “Kwa nini mnatokeza mvurugo wenye kelele na kulia? Mtoto mchanga hakufa, bali analala usingizi.”+

  • Luka 8:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Lakini watu wote walikuwa wakilia na kujipiga-piga kwa huzuni kwa ajili yake. Kwa hiyo akasema: “Acheni kulia,+ kwa maana hakufa bali analala usingizi.”+

  • Yohana 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Alisema hayo, kisha akawaambia: “Lazaro rafiki yetu anapumzika, lakini ninafunga safari kwenda huko ili kumwamsha kutoka usingizini.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki