Marko 5:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na, baada ya kuingia, akawaambia: “Kwa nini mnatokeza mvurugo wenye kelele na kulia? Mtoto mchanga hakufa, bali analala usingizi.”+ Luka 8:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Lakini watu wote walikuwa wakilia na kujipiga-piga kwa huzuni kwa ajili yake. Kwa hiyo akasema: “Acheni kulia,+ kwa maana hakufa bali analala usingizi.”+ Yohana 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Alisema hayo, kisha akawaambia: “Lazaro rafiki yetu anapumzika, lakini ninafunga safari kwenda huko ili kumwamsha kutoka usingizini.”+
39 na, baada ya kuingia, akawaambia: “Kwa nini mnatokeza mvurugo wenye kelele na kulia? Mtoto mchanga hakufa, bali analala usingizi.”+
52 Lakini watu wote walikuwa wakilia na kujipiga-piga kwa huzuni kwa ajili yake. Kwa hiyo akasema: “Acheni kulia,+ kwa maana hakufa bali analala usingizi.”+
11 Alisema hayo, kisha akawaambia: “Lazaro rafiki yetu anapumzika, lakini ninafunga safari kwenda huko ili kumwamsha kutoka usingizini.”+