Methali 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yule anayekasirika upesi atatenda upumbavu,+ lakini mtu mwenye uwezo wa kufikiri huchukiwa.+ Mhubiri 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usiwe na haraka kuudhika katika roho yako,+ kwa maana kuudhika hukaa katika kifua cha wajinga.+