Kutoka 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Lakini mtu yeyote akimwomba mwenzake kitu fulani,+ nacho kilemae au kife kama mwenyewe hayupo pamoja nacho, lazima atalipa.+ 2 Wafalme 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo akaingia na kumwambia yule mtu wa Mungu wa kweli, naye sasa akasema: “Nenda, uza hayo mafuta ulipe madeni yako,+ nawe pamoja na wana wako mtaishi kwa kile kitakachobaki.”+
14 “Lakini mtu yeyote akimwomba mwenzake kitu fulani,+ nacho kilemae au kife kama mwenyewe hayupo pamoja nacho, lazima atalipa.+
7 Kwa hiyo akaingia na kumwambia yule mtu wa Mungu wa kweli, naye sasa akasema: “Nenda, uza hayo mafuta ulipe madeni yako,+ nawe pamoja na wana wako mtaishi kwa kile kitakachobaki.”+