Zaburi 37:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwovu anakopa lakini halipi,+Lakini mwadilifu anaonyesha kibali na anatoa zawadi.+ Methali 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mtu tajiri ndiye huwatawala maskini,+ na mkopaji ni mtumishi wa mtu anayemkopesha.+