Kumbukumbu la Torati 28:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova atakufungulia ghala lake zuri, mbingu, ili kunyesha mvua juu ya nchi yako katika majira+ yake na kubariki kila tendo la mkono wako;+ nawe hakika utakopesha mataifa mengi, hali wewe mwenyewe hutakopa.+ Methali 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mtu tajiri ndiye huwatawala maskini,+ na mkopaji ni mtumishi wa mtu anayemkopesha.+
12 Yehova atakufungulia ghala lake zuri, mbingu, ili kunyesha mvua juu ya nchi yako katika majira+ yake na kubariki kila tendo la mkono wako;+ nawe hakika utakopesha mataifa mengi, hali wewe mwenyewe hutakopa.+