Kumbukumbu la Torati 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+ Ayubu 31:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ikiwa nilikuwa nikiwanyima watu wa hali ya chini mapendezi yao,+Na kuyafanya macho ya mjane yaishiwe nguvu,+ Zaburi 112:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+ צ [Tsa·dhehʹ]Uadilifu wake unasimama milele.+ ק [Qohph]Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+ Methali 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+ Methali 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+ na Yeye atamlipa matendo yake.+ Mhubiri 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wape fungu watu saba, au hata wanane,+ kwa maana hujui ni msiba gani utakaotokea duniani.+ 2 Timotheo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Bwana na aipe rehema nyumba ya Onesiforo,+ kwa sababu mara nyingi aliniletea kiburudisho,+ naye hakuionea aibu minyororo yangu.+
11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+
16 Ikiwa nilikuwa nikiwanyima watu wa hali ya chini mapendezi yao,+Na kuyafanya macho ya mjane yaishiwe nguvu,+
9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+ צ [Tsa·dhehʹ]Uadilifu wake unasimama milele.+ ק [Qohph]Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+
21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+
16 Bwana na aipe rehema nyumba ya Onesiforo,+ kwa sababu mara nyingi aliniletea kiburudisho,+ naye hakuionea aibu minyororo yangu.+