Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+

  • Ayubu 31:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ikiwa nilikuwa nikiwanyima watu wa hali ya chini mapendezi yao,+

      Na kuyafanya macho ya mjane yaishiwe nguvu,+

  • Zaburi 112:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+

      צ [Tsa·dhehʹ]

      Uadilifu wake unasimama milele.+

      ק [Qohph]

      Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+

  • Methali 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+

  • Methali 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+ na Yeye atamlipa matendo yake.+

  • Mhubiri 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Wape fungu watu saba, au hata wanane,+ kwa maana hujui ni msiba gani utakaotokea duniani.+

  • 2 Timotheo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Bwana na aipe rehema nyumba ya Onesiforo,+ kwa sababu mara nyingi aliniletea kiburudisho,+ naye hakuionea aibu minyororo yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki