Zaburi 37:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwovu anakopa lakini halipi,+Lakini mwadilifu anaonyesha kibali na anatoa zawadi.+ Waroma 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiwe na deni la hata jambo moja la mtu yeyote,+ isipokuwa kupendana;+ kwa maana yeye anayempenda mwanadamu mwenzake ameitimiza sheria.+
8 Msiwe na deni la hata jambo moja la mtu yeyote,+ isipokuwa kupendana;+ kwa maana yeye anayempenda mwanadamu mwenzake ameitimiza sheria.+