Kutoka 9:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yeyote aliyeogopa neno la Yehova kati ya watumishi wa Farao aliwakimbiza watumishi wake na mifugo wake ndani ya nyumba,+ Methali 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mtu mwerevu ambaye ameuona msiba amejificha;+ wasio na uzoefu ambao wamepita wamepatwa na mabaya.+
20 Yeyote aliyeogopa neno la Yehova kati ya watumishi wa Farao aliwakimbiza watumishi wake na mifugo wake ndani ya nyumba,+
12 Mtu mwerevu ambaye ameuona msiba amejificha;+ wasio na uzoefu ambao wamepita wamepatwa na mabaya.+