9 “ ‘Ee Belteshaza mkuu wa makuhani wenye kufanya uchawi,+ kwa kuwa mimi mwenyewe najua vema kwamba roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako+ na kwamba hakuna siri yoyote ambayo inakusumbua,+ niambie maono ya ndoto yangu ambayo nimeona na tafsiri yake.+