2 Wafalme 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baada ya muda njaa kali ikatokea katika Samaria,+ na, tazama! walilizingira mpaka kichwa cha punda+ kikawa na thamani ya vipande 80 vya fedha, na sehemu ya nne ya kipimo cha kabi cha mavi+ ya njiwa ikawa na thamani ya vipande 5 vya fedha. 2 Wafalme 6:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Basi tukampika+ mwanangu, tukamla.+ Kisha nikamwambia kesho yake, ‘Mtoe mwana wako ili tumle.’ Lakini akamficha mwana wake.”
25 Baada ya muda njaa kali ikatokea katika Samaria,+ na, tazama! walilizingira mpaka kichwa cha punda+ kikawa na thamani ya vipande 80 vya fedha, na sehemu ya nne ya kipimo cha kabi cha mavi+ ya njiwa ikawa na thamani ya vipande 5 vya fedha.
29 Basi tukampika+ mwanangu, tukamla.+ Kisha nikamwambia kesho yake, ‘Mtoe mwana wako ili tumle.’ Lakini akamficha mwana wake.”