Yeremia 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu yangekuwa chemchemi ya machozi!+ Ndipo ningelia usiku na mchana kwa ajili ya waliouawa wa binti ya watu wangu.+ Luka 19:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Naye alipokaribia hapo, akalitazama jiji na kulililia,+ Matendo 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 nikimtumikia+ Bwana nikiwa na unyenyekevu mkubwa zaidi wa akili+ na machozi na majaribu yaliyonipata kwa hila+ za Wayahudi;
9 Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu yangekuwa chemchemi ya machozi!+ Ndipo ningelia usiku na mchana kwa ajili ya waliouawa wa binti ya watu wangu.+
19 nikimtumikia+ Bwana nikiwa na unyenyekevu mkubwa zaidi wa akili+ na machozi na majaribu yaliyonipata kwa hila+ za Wayahudi;