Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:136
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 136 Vijito vya maji vimetiririka kutoka machoni pangu+

      Kwa sababu hawakuishika sheria yako.+

  • Yeremia 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu yangekuwa chemchemi ya machozi!+ Ndipo ningelia usiku na mchana kwa ajili ya waliouawa wa binti ya watu wangu.+

  • Luka 23:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Yesu akawageukia wanawake hao na kusema: “Binti za Yerusalemu, acheni kunililia. Badala yake, jililieni ninyi wenyewe na watoto wenu;+

  • Yohana 11:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yesu akatokwa na machozi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki