Zaburi 119:136 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 136 Vijito vya maji vimetiririka kutoka machoni pangu+Kwa sababu hawakuishika sheria yako.+ Yeremia 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu yangekuwa chemchemi ya machozi!+ Ndipo ningelia usiku na mchana kwa ajili ya waliouawa wa binti ya watu wangu.+ Luka 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yesu akawageukia wanawake hao na kusema: “Binti za Yerusalemu, acheni kunililia. Badala yake, jililieni ninyi wenyewe na watoto wenu;+ Yohana 11:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yesu akatokwa na machozi.+
9 Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu yangekuwa chemchemi ya machozi!+ Ndipo ningelia usiku na mchana kwa ajili ya waliouawa wa binti ya watu wangu.+
28 Yesu akawageukia wanawake hao na kusema: “Binti za Yerusalemu, acheni kunililia. Badala yake, jililieni ninyi wenyewe na watoto wenu;+