Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  53 Hasira inayowaka imenishika kwa sababu ya waovu,+

      Wanaoiacha sheria yako.+

  • Ezekieli 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Yehova akamwambia: “Pita katikati ya jiji, katikati ya Yerusalemu, nawe lazima utie alama kwenye mapaji ya uso ya watu wanaougua na kulia+ kwa sababu ya machukizo yote yanayofanywa katikati yake.”+

  • Ezekieli 22:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Makuhani wake wenyewe wameitendea jeuri sheria yangu,+ nao wanaendelea kutia unajisi mahali pangu patakatifu.+ Hawatofautishi kati ya kitu kitakatifu na cha kawaida,+ nao hawajafanya chochote kijulikane kati ya kitu kisicho safi na kilicho safi,+ nao wameyaficha macho+ yao yasione sabato zangu, nami ninatiwa unajisi katikati yao.+

  • Hosea 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hakika watu wangu watanyamazishwa, kwa sababu hakuna ujuzi.+ Kwa kuwa wewe mwenyewe umeukataa ujuzi,+ mimi pia nitakukataa wewe usiwe kuhani kwangu;+ na kwa sababu unaendelea kuisahau sheria ya Mungu wako,+ hata mimi nitawasahau wana wako.+

  • Amosi 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Yuda,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu wamekataa sheria ya Yehova,+ na kwa sababu hawakushika masharti yake mwenyewe; bali uwongo wao,+ ambao mababu zao walikuwa wametembea ndani yake, uliendelea kuwapoteza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki