Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  53 Hasira inayowaka imenishika kwa sababu ya waovu,+

      Wanaoiacha sheria yako.+

  • Zaburi 119:136
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 136 Vijito vya maji vimetiririka kutoka machoni pangu+

      Kwa sababu hawakuishika sheria yako.+

  • 2 Wakorintho 12:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Labda, nitakapokuja tena, huenda Mungu wangu akaninyenyekeza katikati yenu, nami huenda nikaomboleza juu ya wengi kati ya wale ambao hapo zamani walitenda dhambi+ lakini hawajatubu kutokana na unajisi wao na uasherati+ na mwenendo mpotovu+ ambao wamezoea kutenda.

  • 2 Petro 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa maana mtu huyo mwadilifu kwa yale ambayo aliona na kusikia alipokuwa akikaa katikati yao siku baada ya siku alikuwa akiitesa nafsi yake yenye uadilifu kwa sababu ya vitendo vyao vya kuasi sheria—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki