Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Ninajuta+ kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu amegeuka+ asinifuate mimi, naye hakutenda maneno yangu.”+ Nalo jambo hilo likawa lenye kumtaabisha Samweli,+ akaendelea kumlilia Yehova usiku kucha.+

  • Yeremia 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 na ili wafanye haraka na kufanya maombolezo juu yetu. Macho yetu na yatiririke machozi, macho yetu yanayong’aa na yatiririke maji.+

  • Maombolezo 3:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Jicho langu huendelea kutiririka vijito vya maji kwa sababu ya kuvunjika kwa binti ya watu wangu.+

  • 2 Petro 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa maana mtu huyo mwadilifu kwa yale ambayo aliona na kusikia alipokuwa akikaa katikati yao siku baada ya siku alikuwa akiitesa nafsi yake yenye uadilifu kwa sababu ya vitendo vyao vya kuasi sheria—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki