26 Ee binti ya watu wangu, vaa nguo ya gunia+ na ugaegae katika majivu.+ Omboleza kama kumwombolezea mwana wa pekee, kilio cha uchungu;+ kwa sababu mporaji atakuja juu yetu kwa ghafula.+
17 “Nawe uwaambie neno hili, ‘Macho yangu na yatiririke machozi usiku na mchana wala yasitulie,+ kwa maana bikira, binti ya watu wangu, amevunjwa kwa mavunjiko makuu+ kwa pigo lenye ugonjwa.+