Luka 19:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Naye alipokaribia hapo, akalitazama jiji na kulililia,+ Waroma 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Shangilieni pamoja na watu wanaoshangilia;+ lieni pamoja na watu wanaolia. Waebrania 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana tuna kuhani mkuu, si mtu ambaye hawezi kuusikitikia+ udhaifu wetu, bali yeye ambaye amejaribiwa katika mambo yote kama sisi wenyewe, lakini bila kuwa na dhambi.+
15 Kwa maana tuna kuhani mkuu, si mtu ambaye hawezi kuusikitikia+ udhaifu wetu, bali yeye ambaye amejaribiwa katika mambo yote kama sisi wenyewe, lakini bila kuwa na dhambi.+