17 Na mfalme alikuwa amemweka yule amiri msaidizi ambaye alikuwa amejiegemeza+ juu ya mkono wake asimamie njia ya lango; na watu wakaendelea kumkanyaga+ katika njia ya lango, hata akafa, kama alivyokuwa amesema yule mtu wa Mungu wa kweli,+ aliposema wakati mfalme aliposhuka kumjia.