33 Basi akasema: “Mwangusheni!”+ Ndipo wakamwangusha huyo mwanamke, na sehemu ya damu yake ikamwagika juu ya ukuta na juu ya farasi; naye akamkanyaga-kanyaga.+
10 Kwa maana mkono wa Yehova utatua juu ya mlima huu,+ na Moabu atakanyagwa chini+ katika mahali pake kama fungu la majani linavyokanyagwa chini katika mahali penye mbolea.+