10 Kwa maana mkono wa Yehova utatua juu ya mlima huu,+ na Moabu atakanyagwa chini+ katika mahali pake kama fungu la majani linavyokanyagwa chini katika mahali penye mbolea.+
3 “Nanyi mtawakanyagia chini waovu, kwa maana watakuwa kama mavumbi chini ya nyayo za miguu yenu siku ile nitakayochukua hatua,”+ asema Yehova wa majeshi.
20 Kwa upande wake, Mungu anayetoa amani+ atamponda Shetani+ chini ya miguu yenu upesi. Fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu na ziwe pamoja nanyi.+