2 Wafalme 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa manyoofu machoni pa Yehova,+ ila tu si kama Daudi babu yake.+ Akafanya kulingana na yote ambayo Yehoashi baba yake alifanya.+ 2 Mambo ya Nyakati 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na Yehoashi+ akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni+ pa Yehova siku zote za Yehoyada kuhani.+
3 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa manyoofu machoni pa Yehova,+ ila tu si kama Daudi babu yake.+ Akafanya kulingana na yote ambayo Yehoashi baba yake alifanya.+