2 Mambo ya Nyakati 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi mfalme akamwita Yehoyada aliye kichwa na kumwambia:+ “Kwa nini hujawadai Walawi walete kutoka Yuda na Yerusalemu kodi takatifu iliyoagizwa na Musa+ mtumishi wa Yehova, ile ya kutaniko la Israeli, kwa ajili ya hema la Ushuhuda?+
6 Basi mfalme akamwita Yehoyada aliye kichwa na kumwambia:+ “Kwa nini hujawadai Walawi walete kutoka Yuda na Yerusalemu kodi takatifu iliyoagizwa na Musa+ mtumishi wa Yehova, ile ya kutaniko la Israeli, kwa ajili ya hema la Ushuhuda?+