2 Wafalme 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo Mfalme Yehoashi akamwita Yehoyada+ kuhani na makuhani, akawaambia: “Kwa nini hamrekebishi mipasuko ya nyumba? Basi sasa, msichukue pesa zaidi kutoka kwa watu mnaofahamiana nao, bali mzitoe kwa ajili ya mipasuko ya nyumba.”+
7 Kwa hiyo Mfalme Yehoashi akamwita Yehoyada+ kuhani na makuhani, akawaambia: “Kwa nini hamrekebishi mipasuko ya nyumba? Basi sasa, msichukue pesa zaidi kutoka kwa watu mnaofahamiana nao, bali mzitoe kwa ajili ya mipasuko ya nyumba.”+