Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na katika mwaka wa saba Yehoyada+ akatuma watu, kisha akawachukua wakuu wa mamia wa walinzi Wakari+ na wa wakimbiaji+ na kuwaleta kwake katika nyumba ya Yehova, akafanya agano+ pamoja nao na kuwaapisha+ katika nyumba ya Yehova, kisha akawaonyesha mwana wa mfalme.

  • 2 Mambo ya Nyakati 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na katika mwaka wa saba Yehoyada+ akajionyesha kuwa hodari, akawachukua wakuu wa mamia,+ yaani, Azaria mwana wa Yerohamu, na Ishmaeli mwana wa Yehohanani na Azaria mwana wa Obedi na Maaseya mwana wa Adaya na Elishafati mwana wa Zikri, pamoja naye katika agano.

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Yehoyada akawa mzee na mwenye kushiba miaka+ naye akafa mwishowe, akiwa na umri wa miaka 130 wakati wa kifo chake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki