Kumbukumbu la Torati 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Utalaaniwa uzao wa tumbo lako+ na mazao ya udongo wako,+ mtoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako.+ Hosea 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wape, Ee Yehova, kile inachokupasa kuwapa.+ Wape tumbo lenye kuharibu mimba+ na maziwa yanayokauka.
18 “Utalaaniwa uzao wa tumbo lako+ na mazao ya udongo wako,+ mtoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako.+
14 Wape, Ee Yehova, kile inachokupasa kuwapa.+ Wape tumbo lenye kuharibu mimba+ na maziwa yanayokauka.