24 Hata hivyo, mfalme akamwambia Arauna: “Hapana, bali bila shaka nitaununua kutoka kwako kwa bei fulani;+ nami sitamtolea Yehova Mungu wangu matoleo ya kuteketezwa bila gharama.”+ Basi Daudi akaununua+ ule uwanja wa kupuria na wale ng’ombe kwa shekeli 50 za fedha.