Kutoka 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+ Yoshua 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo watu wa Israeli wakawaambia hao Wahivi:+ “Labda mnakaa katika ujirani wetu. Basi tunawezaje kufanya agano pamoja nanyi?”+
8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+
7 Ndipo watu wa Israeli wakawaambia hao Wahivi:+ “Labda mnakaa katika ujirani wetu. Basi tunawezaje kufanya agano pamoja nanyi?”+