Kutoka 23:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hutafanya agano pamoja nao au miungu yao.+ Kutoka 34:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Jiangalie usije ukafanya agano pamoja na wakaaji wa nchi hiyo unayoiendea,+ isije ikawa mtego katikati yako.+ Kumbukumbu la Torati 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na Yehova Mungu wako hakika atawatia hao mkononi mwako, nawe utawashinda.+ Unapaswa kuwaangamiza.+ Usifanye agano lolote pamoja nao wala kuwaonyesha kibali chochote.+ Kumbukumbu la Torati 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ni katika majiji ya watu hawa tu ambayo Yehova anakupa yawe urithi ambayo hutaacha hai chochote kinachopumua,+ Kumbukumbu la Torati 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ili wasiwafundishe kulingana na machukizo yao yote, ambayo wameifanyia miungu yao, nanyi mumtendee dhambi Yehova Mungu wenu.+ Waamuzi 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nanyi kwa upande wenu, hampaswi kufanya agano na wakaaji wa nchi hii.+ Bomoeni madhabahu zao.’+ Lakini hamkuisikiliza sauti yangu.+ Kwa nini mmefanya hivi?+
12 Jiangalie usije ukafanya agano pamoja na wakaaji wa nchi hiyo unayoiendea,+ isije ikawa mtego katikati yako.+
2 Na Yehova Mungu wako hakika atawatia hao mkononi mwako, nawe utawashinda.+ Unapaswa kuwaangamiza.+ Usifanye agano lolote pamoja nao wala kuwaonyesha kibali chochote.+
16 Ni katika majiji ya watu hawa tu ambayo Yehova anakupa yawe urithi ambayo hutaacha hai chochote kinachopumua,+
18 ili wasiwafundishe kulingana na machukizo yao yote, ambayo wameifanyia miungu yao, nanyi mumtendee dhambi Yehova Mungu wenu.+
2 Nanyi kwa upande wenu, hampaswi kufanya agano na wakaaji wa nchi hii.+ Bomoeni madhabahu zao.’+ Lakini hamkuisikiliza sauti yangu.+ Kwa nini mmefanya hivi?+