1 Mambo ya Nyakati 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Tamari+ binti-mkwe wake ndiye aliyemzalia Perezi+ na Zera. Wana wote wa Yuda walikuwa watano. 1 Mambo ya Nyakati 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na wana wa Zera+ walikuwa Zimri na Ethani na Hemani na Kalkoli na Dara.+ Jumla yao walikuwa watano.
6 Na wana wa Zera+ walikuwa Zimri na Ethani na Hemani na Kalkoli na Dara.+ Jumla yao walikuwa watano.