17 na Matania+ mwenyewe, mwana wa Mika mwana wa Zabdi mwana wa Asafu,+ kiongozi wa nyimbo za sifa,+ ndiye aliyesifu katika sala,+ na Bakbukia alikuwa wa pili wa ndugu zake, na Abda mwana wa Shamua mwana wa Galali+ mwana wa Yeduthuni.+
35 pia wana wa makuhani wakiwa na tarumbeta,+ Zekaria mwana wa Yonathani mwana wa Shemaya mwana wa Matania mwana wa Mikaya mwana wa Zakuri+ mwana wa Asafu,+