22 Na mwangalizi+ wa Walawi katika Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani mwana wa Hashabia mwana wa Matania+ mwana wa Mika+ wa wana wa Asafu,+ waimbaji,+ kuhusiana na kazi ya nyumba ya Mungu wa kweli.
25 Matania+ na Bakbukia, Obadia, Meshulamu, Talmoni, Akubu+ walikuwa wakilinda wakiwa watunza-malango,+ kikundi cha ulinzi kando ya maghala ya malango.