Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na Bakbakari, Hereshi na Galali, na Matania+ mwana wa Mika+ mwana wa Zikri+ mwana wa Asafu,+

  • Nehemia 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Walawi walikuwa Yeshua,+ Binui,+ Kadmieli,+ Sherebia, Yuda, Matania,+ waliosimamia utoaji wa shukrani, yeye na ndugu zake.

  • Nehemia 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha nikamweka Shelemia kuhani na Sadoki mwandikaji na Pedaya wa Walawi kusimamia maghala; na chini ya usimamizi wao kulikuwa na Hanani mwana wa Zakuri mwana wa Matania,+ kwa maana walionwa kuwa watu waaminifu;+ nao walikuwa na daraka la kuwagawia+ ndugu zao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki