Zaburi 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova, ni nani atakayekuwa mgeni katika hema lako?+Ni nani atakayekaa katika mlima wako mtakatifu?+ Luka 12:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Naye Bwana akasema: “Ni nani kwa kweli aliye msimamizi-nyumba mwaminifu,+ mwenye busara,+ ambaye bwana wake atamweka rasmi juu ya watumishi wake kuendelea kuwapa kipimo chao cha chakula katika wakati unaofaa?+ 1 Wakorintho 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mbali na hilo, katika hali hii, kinachoangaliwa katika wasimamizi-nyumba+ ni mtu kupatwa akiwa mwaminifu.+
15 Ee Yehova, ni nani atakayekuwa mgeni katika hema lako?+Ni nani atakayekaa katika mlima wako mtakatifu?+
42 Naye Bwana akasema: “Ni nani kwa kweli aliye msimamizi-nyumba mwaminifu,+ mwenye busara,+ ambaye bwana wake atamweka rasmi juu ya watumishi wake kuendelea kuwapa kipimo chao cha chakula katika wakati unaofaa?+
2 Mbali na hilo, katika hali hii, kinachoangaliwa katika wasimamizi-nyumba+ ni mtu kupatwa akiwa mwaminifu.+