Nehemia 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 na Matania+ mwenyewe, mwana wa Mika mwana wa Zabdi mwana wa Asafu,+ kiongozi wa nyimbo za sifa,+ ndiye aliyesifu katika sala,+ na Bakbukia alikuwa wa pili wa ndugu zake, na Abda mwana wa Shamua mwana wa Galali+ mwana wa Yeduthuni.+ Nehemia 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Walawi walikuwa Yeshua,+ Binui,+ Kadmieli,+ Sherebia, Yuda, Matania,+ waliosimamia utoaji wa shukrani, yeye na ndugu zake.
17 na Matania+ mwenyewe, mwana wa Mika mwana wa Zabdi mwana wa Asafu,+ kiongozi wa nyimbo za sifa,+ ndiye aliyesifu katika sala,+ na Bakbukia alikuwa wa pili wa ndugu zake, na Abda mwana wa Shamua mwana wa Galali+ mwana wa Yeduthuni.+
8 Na Walawi walikuwa Yeshua,+ Binui,+ Kadmieli,+ Sherebia, Yuda, Matania,+ waliosimamia utoaji wa shukrani, yeye na ndugu zake.