22 Wote waliochaguliwa kuwa watunza-malango kwenye milango walikuwa mia mbili kumi na wawili. Walikuwa katika makao+ yao kulingana na maandikisho yao ya kiukoo.+ Daudi+ na Samweli mwonaji+ waliwaagiza hao rasmi katika vyeo vyao vya kutegemewa.+
27 Nao wakawa wakikaa usiku wote kuizunguka pande zote nyumba ya Mungu wa kweli; kwa maana utumishi wa ulinzi+ ulikuwa juu yao, nao walisimamia ufunguo, ili kufungua asubuhi baada ya asubuhi.+